Wednesday, November 25, 2009

SHILPA SHETTY THROWS ONOTHER WEDDING PARTY AS SHE GLITTERS IN GOLD SARI











6 comments:

Anonymous said...

Wale wakali wa Machozi Band, tafuteni stayle za usiku wa Dhahabu
MAMBO HAYOOO

disminder

PASSION4FASHION.TZ said...

Hapo umesema wangu,dhahabu haidanganyi,haimtupi mtu hata siku moja,inapendeza sana,saaaana!

Anonymous said...

Weeeh usipime!!
Ningekuwa Dar na jinsi ninavyopenda dhahabu?????
NINGEWASHIKAAAAAAAAAAAAAAAA
hahahahahahah

disminder

PASSION4FASHION.TZ said...

Mie hapo mbavu sina,nasubiri lift ya ungo wa bibi Dua,namie nidandie hahaahahahaaaaaa!

Anonymous said...

hahahahah Bibi dua atafurahi kupata wadau zaidi katika ulimwengu wa tekenolojiaaaaaaaa

Week end njema kwa wote.
Eid Mubarakh kwa wote.
Tushereheke kwa Amani.

disminder

PASSION4FASHION.TZ said...

Hiyo imetulia wangu,tumechoka na haya mambo yao yakuku scan,ukiingia na ukitoka,hiyo ya bibi Dua imetulia wewe wafunga tela tu,ukifumbua macho umefika hahahaaaa! usiniambie kumbe kuna Eddi?nilizani ni weekend tu,asante mpenzi na wewe pia.