
Darasa 45: Maisha yetu kama zoezi la matofali
-
Darasa linakukumbusha kuwa...… Watu watatu ni mimi na wewe. Watu kumi ni
mimi na wewekwa sababu kuna watu tumesimama nyuma yao. Lakini pia, ni watu
wetu ...
2 years ago

4 comments:
Samahani dada umeleta mzigo mwingine?Maana nilikuja hapo 1st sept sikupata nilichokuwa nataka nashangaa sasa naona mapigo ya nguvu kwa blog yako maana nilisafiri kwenda mkoa net slow pic zilikuwa hazionekani.Nisaidie tafadhali
Hello mpenzi wangu,yes nimeleta mzigo mwingine ulifika last week,lakini 75% nimeuza jumla,kuna wateja wamekwenda kununua jumla wewe unavaa size gani? kama hizo nimepost jana ni size yako basi wahi mpigie Paschalia akuwekee maana huo mzigo kidogo uliobakia ndio unapangwa leo dukani,na hizo hapo nauhakika zipo wahi dukani au mpigie simu au nijurishe mimi kwa email.Kwasasa naandaa mzigo mwingine ili nitume mwezi ujao lakini nenda dukani huwezi kukosa kwasababu karibu vitu vyote ni vizuri tu.Karibu sana.
Nasukuru kwa kunijibu.
Bahati mbaya sitapata nafasi kwenda dukani leo labda kesho au keshokutwa.Nitashukuru kama utakapoleta mzigo next month utuambie
Sawa shost,taarifa utaipata hapa hap,karibu saaana.
Post a Comment