Wale wakali wa Machozi Band, tafuteni stayle za usiku wa DhahabuMAMBO HAYOOOdisminder
Hapo umesema wangu,dhahabu haidanganyi,haimtupi mtu hata siku moja,inapendeza sana,saaaana!
Weeeh usipime!! Ningekuwa Dar na jinsi ninavyopenda dhahabu?????NINGEWASHIKAAAAAAAAAAAAAAAAhahahahahahahdisminder
Mie hapo mbavu sina,nasubiri lift ya ungo wa bibi Dua,namie nidandie hahaahahahaaaaaa!
hahahahah Bibi dua atafurahi kupata wadau zaidi katika ulimwengu wa tekenolojiaaaaaaaaWeek end njema kwa wote.Eid Mubarakh kwa wote.Tushereheke kwa Amani.disminder
Hiyo imetulia wangu,tumechoka na haya mambo yao yakuku scan,ukiingia na ukitoka,hiyo ya bibi Dua imetulia wewe wafunga tela tu,ukifumbua macho umefika hahahaaaa! usiniambie kumbe kuna Eddi?nilizani ni weekend tu,asante mpenzi na wewe pia.
Wale wakali wa Machozi Band, tafuteni stayle za usiku wa Dhahabu
ReplyDeleteMAMBO HAYOOO
disminder
Hapo umesema wangu,dhahabu haidanganyi,haimtupi mtu hata siku moja,inapendeza sana,saaaana!
ReplyDeleteWeeeh usipime!!
ReplyDeleteNingekuwa Dar na jinsi ninavyopenda dhahabu?????
NINGEWASHIKAAAAAAAAAAAAAAAA
hahahahahahah
disminder
Mie hapo mbavu sina,nasubiri lift ya ungo wa bibi Dua,namie nidandie hahaahahahaaaaaa!
ReplyDeletehahahahah Bibi dua atafurahi kupata wadau zaidi katika ulimwengu wa tekenolojiaaaaaaaa
ReplyDeleteWeek end njema kwa wote.
Eid Mubarakh kwa wote.
Tushereheke kwa Amani.
disminder
Hiyo imetulia wangu,tumechoka na haya mambo yao yakuku scan,ukiingia na ukitoka,hiyo ya bibi Dua imetulia wewe wafunga tela tu,ukifumbua macho umefika hahahaaaa! usiniambie kumbe kuna Eddi?nilizani ni weekend tu,asante mpenzi na wewe pia.
ReplyDelete