Naona rangi hii ya zambarau ni yake mwisho mwisho wa mwaka huu kwani kila duka nikipita ni rangi hiyo tu hata rangi ya kucha pia.
Yeah,it's nice colour
Wataalamu wa Rangi wanakwambia hii ni rangi ya bahati, tena hasa kwa wale wa nyota ya SAMAKI. Na pia ni rangi ya biashara kwani imetulia lakini ina mvuto wa pekeeeeee.Inakwenda na rangi yeyote ilimradi ujue kuichanganya, lakini weka na dhahabu uone!!!!!!!!!!!disminder.
Naona rangi hii ya zambarau ni yake mwisho mwisho wa mwaka huu kwani kila duka nikipita ni rangi hiyo tu hata rangi ya kucha pia.
ReplyDeleteYeah,it's nice colour
ReplyDeleteWataalamu wa Rangi wanakwambia hii ni rangi ya bahati, tena hasa kwa wale wa nyota ya SAMAKI.
ReplyDeleteNa pia ni rangi ya biashara kwani imetulia lakini ina mvuto wa pekeeeeee.
Inakwenda na rangi yeyote ilimradi ujue kuichanganya, lakini weka na dhahabu uone!!!!!!!!!!!
disminder.