Wednesday, September 10, 2008

ITS TIME FOR CHIDREN'S FASHION!!!!

Leo nafasi ya upendeleo inakwenda kwa ma-miss wangu watarajiwa, sio kwamba za wakubwa tu ndio zipo na watoto pia, haya kina mama kazi kwenu mpende mwanao.

4 comments:

Anonymous said...

napenda nikupe pongezi sana je ziko za watoto wenye umri wa miaka 5 wa kike na viatu nataka kuja kufanya shopping for the coming holiday dear thanks

PASSION4FASHION.TZ said...

Oh, asante sana mpenzi kwa pongezi,pia asante sana kwa kutembelea blog yangu, sasa kuhusu nguo za huyo miss Tz wa mwaka 2020 nimecheki na dukani size yake zimekwisha lakini usikonde tayarisha tu hayo mapene mzigo mwingine uko njiani utakuwa dukani after two weeks, viatu mrembo anavaa size gani?haya mpe hi! huyo mrembo wetu.

Anonymous said...

asante sana kwa ushirikiano wako ila huo mzigo mpya ukiingia tu plse tufahamishe tuje size sina uhakika mpaka nicheck thanks have anice day!

PASSION4FASHION.TZ said...

Nashukuru sana,wala usihofu tutafahamishana,ila kwa viatu ningeomba ukacheck ili nijue mrembo wetu atoke ki uhakika na hawa wasasa wanavyojua ku pause...we acha tu.