Friday, August 7, 2009

Oprah Winfrey sued for plagiarism, faces $1.2 trillion dollar suit!!!


Oprah Winfrey is being sued for $1 trillion dollars, by author Damon Lloyd Goffe. Goffe accuses Oprah Winfrey of plagiarizing passages from his book “A Tome of Poetry”. Oprah had published work online called “Pieces of my Soul.”
The $1 trillion dollar suit was filed against Oprah Winfrey on July 31, 2009 in a Washington D.C. court. Goffe claims that the trillion dollar suit is reasonable due to the fact that Winfrey sold approximately 650 million copies at $20.00 per book. Goffe also alleges that Winfrey admitted to the plagiarism in April 2008.
Oprah Winfrey has yet to comment or release a statement regarding the lawsuit.
1 trillion dollar??? Is this some kind of joke???

4 comments:

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Kazi kwelikweli. Ngoja tuone itakuwaje lakini haya mambo ya kudesa kazi za watu bila kuomba ruhusa ni tatizo kubwa. Juzijuzi hapa chuoni kwetu Profesa mmoja mashuhuri amefukuzwa kazi kwa kosa hilo hilo. Na kwa sisi ambao tumesomea katika utamaduni wa kudesa, tunaweza tusione kuwa hili ni tatizo lakini linaweza kumwingiza mtu katika matatizo makubwa sana hasa katika ulimwengu wa taaluma, uandishi wa habari na kwingineko.

PASSION4FASHION.TZ said...

Nikweli ngoja tusikilize kesi hii itaishia wapi,maaana mmmh! sijui.

Mzee wa Changamoto said...

Ama kweli!! One Trillion that's like uncountable to me.
Let's wait and see what's next

PASSION4FASHION.TZ said...

One Trillion USA Dolar it's not a joke hata kuitamka mdomo unapata kigugumizi kama ni Dolar ya Zimbabwe,wala nisingeshtuka anataka kummaliza huyo.